43 “‘Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako+ nawe umenikasirisha kwa kufanya mambo hayo yote, sasa nitakuletea madhara ya njia zako juu ya kichwa chako mwenyewe,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nawe hutaendelea tena na mwenendo wako mchafu na mazoea yako yote yanayochukiza.