Hesabu 35:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+ Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+
33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+
38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+