Yeremia 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+ Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukizaNao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+
18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+ Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukizaNao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+