Kumbukumbu la Torati 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+ Zaburi 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anapenda uadilifu na haki.+Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+
25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+