Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 6:1

Marejeo

  • +1Fa 8:12
  • +Kut 20:21; Kum 4:11; Zb 97:2; Ebr 12:18

2 Mambo ya Nyakati 6:2

Marejeo

  • +1Fa 8:13
  • +2Nya 2:4; Zb 132:14

2 Mambo ya Nyakati 6:3

Marejeo

  • +1Fa 8:55
  • +Ne 8:5

2 Mambo ya Nyakati 6:4

Marejeo

  • +Zb 41:13; 145:10; Yak 3:9
  • +1Nya 17:12
  • +1Fa 8:15; Isa 55:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 6:5

Marejeo

  • +Kum 12:5
  • +1Fa 8:16

2 Mambo ya Nyakati 6:6

Marejeo

  • +2Nya 12:13; Zb 48:1
  • +2Sa 7:8; 1Nya 28:4

2 Mambo ya Nyakati 6:7

Marejeo

  • +2Sa 7:2; 1Fa 5:3

2 Mambo ya Nyakati 6:8

Marejeo

  • +1Fa 8:18; 2Ko 8:12

2 Mambo ya Nyakati 6:9

Marejeo

  • +1Fa 8:19
  • +2Sa 7:12; 1Nya 17:4

2 Mambo ya Nyakati 6:10

Marejeo

  • +Yos 21:45; Ne 9:8
  • +1Nya 29:23
  • +1Nya 28:5; Ebr 1:8
  • +1Nya 17:11
  • +1Fa 8:20

2 Mambo ya Nyakati 6:11

Marejeo

  • +Kut 40:20; 1Fa 8:9; 2Nya 5:10
  • +1Fa 8:21

2 Mambo ya Nyakati 6:12

Marejeo

  • +1Fa 8:22
  • +Kut 9:33; Zb 28:2; 1Ti 2:8

2 Mambo ya Nyakati 6:13

Marejeo

  • +Ne 8:4
  • +1Fa 6:36
  • +1Fa 8:54; Zb 95:6; Mdo 20:36
  • +Ezr 9:5

2 Mambo ya Nyakati 6:14

Marejeo

  • +1Nya 29:10
  • +Kut 15:11; 1Sa 2:2; Zb 86:8; Mik 7:18
  • +1Fa 8:23
  • +Kum 7:9; 2Fa 20:3; 2Nya 16:9; Ne 1:5

2 Mambo ya Nyakati 6:15

Marejeo

  • +1Fa 3:6; 6:12
  • +2Sa 7:12; 1Nya 22:10

2 Mambo ya Nyakati 6:16

Marejeo

  • +1Fa 8:24
  • +1Fa 6:12
  • +Zb 132:12
  • +Zb 26:3

2 Mambo ya Nyakati 6:17

Marejeo

  • +Kut 24:10
  • +2Sa 7:25; Zb 119:49
  • +1Fa 8:26

2 Mambo ya Nyakati 6:18

Marejeo

  • +1Fa 8:27; Mdo 7:48
  • +2Nya 2:6; Ne 9:6; Zb 148:13; Isa 40:12; Mdo 17:24
  • +1Fa 8:27; Isa 66:1

2 Mambo ya Nyakati 6:19

Marejeo

  • +2Nya 6:33; Zb 65:2; Da 9:18
  • +2Nya 33:13; Zb 6:9
  • +Zb 5:2
  • +1Fa 8:28

2 Mambo ya Nyakati 6:20

Marejeo

  • +2Fa 19:16; Zb 33:18; 34:15
  • +Kum 26:2; 2Nya 6:9; Ne 1:9
  • +1Fa 8:29

2 Mambo ya Nyakati 6:21

Marejeo

  • +Zb 5:1
  • +2Nya 7:12; Da 6:10
  • +2Fa 19:20; 2Nya 30:27
  • +2Nya 7:14; Mik 7:18

2 Mambo ya Nyakati 6:22

Marejeo

  • +1Sa 2:25
  • +Ne 10:29
  • +1Fa 8:31

2 Mambo ya Nyakati 6:23

Marejeo

  • +2Nya 30:27; Zb 123:1
  • +1Fa 8:32
  • +Hes 5:27; 2Fa 9:26; Ayu 34:11; Met 1:31; Isa 3:11; Gal 6:7
  • +Kum 25:1; Zb 33:5
  • +Isa 3:10; Eze 18:20

2 Mambo ya Nyakati 6:24

Marejeo

  • +Law 26:17; Kum 28:25; Yos 7:8
  • +Yos 7:11; Amu 2:14
  • +Law 26:40; Ne 9:2
  • +Da 9:19
  • +Ezr 9:5
  • +1Fa 8:33; Da 9:3

2 Mambo ya Nyakati 6:25

Marejeo

  • +Isa 57:15
  • +1Fa 8:34
  • +Zb 106:47
  • +Mwa 13:15; Kut 6:8

2 Mambo ya Nyakati 6:26

Marejeo

  • +Yak 5:17
  • +Eze 14:13
  • +1Fa 8:35
  • +Isa 9:13; Eze 18:30

2 Mambo ya Nyakati 6:27

Marejeo

  • +Zb 86:11; 119:102; Isa 30:20; 54:13
  • +Isa 30:21; Yer 6:16; 42:3
  • +1Fa 18:1; Zek 10:1
  • +1Fa 8:36

2 Mambo ya Nyakati 6:28

Marejeo

  • +Ru 1:1; 2Fa 6:25; 2Nya 20:9
  • +Law 26:16; Kum 28:21
  • +Amo 4:9; Hag 2:17
  • +Kum 28:22; Amo 4:9
  • +Kum 28:38; Yoe 1:4; 2:25
  • +Zb 78:46
  • +Law 26:25; 2Nya 12:2; 32:1
  • +1Fa 8:37
  • +Eze 14:21

2 Mambo ya Nyakati 6:29

Marejeo

  • +2Nya 20:6; Zb 91:15
  • +2Nya 33:13
  • +1Fa 8:38
  • +Met 14:10
  • +Da 6:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/1/2010, uku. 11

    3/15/2008, kur. 12-13

    1/1/2004, uku. 32

    4/15/1997, uku. 4

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/1 11; w08 3/15 12-13; w04 1/1 32; w97 4/15 4

2 Mambo ya Nyakati 6:30

Marejeo

  • +Zb 33:14; Isa 63:15; Mt 23:22
  • +Zb 130:4
  • +Ayu 34:11; Zb 18:20; Ufu 2:23
  • +1Nya 28:9; Yer 11:20
  • +1Sa 16:7; 1Fa 8:39; Yer 17:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/1/2010, uku. 11

    3/15/2008, kur. 12-13

    1/1/2004, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/1 11; w08 3/15 12-13; w04 1/1 32

2 Mambo ya Nyakati 6:31

Marejeo

  • +Kut 20:20
  • +Mwa 12:7; Yos 1:2; 1Fa 8:40

2 Mambo ya Nyakati 6:32

Marejeo

  • +Kut 12:48; Ru 1:16; Isa 56:3
  • +Hes 9:14; Yos 9:27; Isa 56:6; Yoh 12:20; Mdo 8:27
  • +Kum 3:24; Yos 2:11
  • +1Fa 8:42
  • +Mdo 2:10

2 Mambo ya Nyakati 6:33

Marejeo

  • +2Nya 30:27; Zb 11:4; 123:1; Ebr 9:24
  • +1Fa 8:43
  • +Zb 22:27; 46:10
  • +Yer 10:7; Ufu 14:7
  • +1Fa 8:43

2 Mambo ya Nyakati 6:34

Marejeo

  • +Kum 20:1; 2Nya 14:11
  • +Hes 31:2; Yos 8:1; Amu 1:2; 1Sa 15:3
  • +2Nya 14:11; 20:6
  • +2Nya 3:2

2 Mambo ya Nyakati 6:35

Marejeo

  • +Zb 3:4; Da 9:17
  • +Isa 37:36

2 Mambo ya Nyakati 6:36

Marejeo

  • +1Fa 8:46
  • +Zb 130:3; Mhu 7:20; Ro 3:23
  • +Law 26:34; Da 9:7

2 Mambo ya Nyakati 6:37

Marejeo

  • +1Fa 8:47
  • +Law 26:40; Ne 1:6; Zb 106:6
  • +Da 9:5
  • +Ezr 9:6; Met 28:13

2 Mambo ya Nyakati 6:38

Marejeo

  • +Kum 30:2; 1Sa 7:3; Yer 29:13
  • +Da 9:3
  • +2Nya 33:7; Da 6:10
  • +1Fa 8:48

2 Mambo ya Nyakati 6:39

Marejeo

  • +2Nya 30:27; Zb 123:1; Ebr 9:24
  • +1Fa 8:49
  • +Mwa 15:14; Yer 51:36
  • +Mik 7:18

2 Mambo ya Nyakati 6:40

Marejeo

  • +2Nya 7:15; 16:9; Zb 11:4; 34:15; Isa 37:17
  • +Zb 17:1; 31:2; 65:2

2 Mambo ya Nyakati 6:41

Marejeo

  • +Zb 132:8
  • +1Nya 28:2
  • +Yos 3:13; 1Sa 5:9
  • +Ne 9:25; Zb 65:4

2 Mambo ya Nyakati 6:42

Marejeo

  • +1Fa 1:34; Zb 18:50
  • +Mdo 13:34

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 6:11Fa 8:12
2 Nya. 6:1Kut 20:21; Kum 4:11; Zb 97:2; Ebr 12:18
2 Nya. 6:21Fa 8:13
2 Nya. 6:22Nya 2:4; Zb 132:14
2 Nya. 6:31Fa 8:55
2 Nya. 6:3Ne 8:5
2 Nya. 6:4Zb 41:13; 145:10; Yak 3:9
2 Nya. 6:41Nya 17:12
2 Nya. 6:41Fa 8:15; Isa 55:11
2 Nya. 6:5Kum 12:5
2 Nya. 6:51Fa 8:16
2 Nya. 6:62Nya 12:13; Zb 48:1
2 Nya. 6:62Sa 7:8; 1Nya 28:4
2 Nya. 6:72Sa 7:2; 1Fa 5:3
2 Nya. 6:81Fa 8:18; 2Ko 8:12
2 Nya. 6:91Fa 8:19
2 Nya. 6:92Sa 7:12; 1Nya 17:4
2 Nya. 6:10Yos 21:45; Ne 9:8
2 Nya. 6:101Nya 29:23
2 Nya. 6:101Nya 28:5; Ebr 1:8
2 Nya. 6:101Nya 17:11
2 Nya. 6:101Fa 8:20
2 Nya. 6:11Kut 40:20; 1Fa 8:9; 2Nya 5:10
2 Nya. 6:111Fa 8:21
2 Nya. 6:121Fa 8:22
2 Nya. 6:12Kut 9:33; Zb 28:2; 1Ti 2:8
2 Nya. 6:13Ne 8:4
2 Nya. 6:131Fa 6:36
2 Nya. 6:131Fa 8:54; Zb 95:6; Mdo 20:36
2 Nya. 6:13Ezr 9:5
2 Nya. 6:141Nya 29:10
2 Nya. 6:14Kut 15:11; 1Sa 2:2; Zb 86:8; Mik 7:18
2 Nya. 6:141Fa 8:23
2 Nya. 6:14Kum 7:9; 2Fa 20:3; 2Nya 16:9; Ne 1:5
2 Nya. 6:151Fa 3:6; 6:12
2 Nya. 6:152Sa 7:12; 1Nya 22:10
2 Nya. 6:161Fa 8:24
2 Nya. 6:161Fa 6:12
2 Nya. 6:16Zb 132:12
2 Nya. 6:16Zb 26:3
2 Nya. 6:17Kut 24:10
2 Nya. 6:172Sa 7:25; Zb 119:49
2 Nya. 6:171Fa 8:26
2 Nya. 6:181Fa 8:27; Mdo 7:48
2 Nya. 6:182Nya 2:6; Ne 9:6; Zb 148:13; Isa 40:12; Mdo 17:24
2 Nya. 6:181Fa 8:27; Isa 66:1
2 Nya. 6:192Nya 6:33; Zb 65:2; Da 9:18
2 Nya. 6:192Nya 33:13; Zb 6:9
2 Nya. 6:19Zb 5:2
2 Nya. 6:191Fa 8:28
2 Nya. 6:202Fa 19:16; Zb 33:18; 34:15
2 Nya. 6:20Kum 26:2; 2Nya 6:9; Ne 1:9
2 Nya. 6:201Fa 8:29
2 Nya. 6:21Zb 5:1
2 Nya. 6:212Nya 7:12; Da 6:10
2 Nya. 6:212Fa 19:20; 2Nya 30:27
2 Nya. 6:212Nya 7:14; Mik 7:18
2 Nya. 6:221Sa 2:25
2 Nya. 6:22Ne 10:29
2 Nya. 6:221Fa 8:31
2 Nya. 6:232Nya 30:27; Zb 123:1
2 Nya. 6:231Fa 8:32
2 Nya. 6:23Hes 5:27; 2Fa 9:26; Ayu 34:11; Met 1:31; Isa 3:11; Gal 6:7
2 Nya. 6:23Kum 25:1; Zb 33:5
2 Nya. 6:23Isa 3:10; Eze 18:20
2 Nya. 6:24Law 26:17; Kum 28:25; Yos 7:8
2 Nya. 6:24Yos 7:11; Amu 2:14
2 Nya. 6:24Law 26:40; Ne 9:2
2 Nya. 6:24Da 9:19
2 Nya. 6:24Ezr 9:5
2 Nya. 6:241Fa 8:33; Da 9:3
2 Nya. 6:25Isa 57:15
2 Nya. 6:251Fa 8:34
2 Nya. 6:25Zb 106:47
2 Nya. 6:25Mwa 13:15; Kut 6:8
2 Nya. 6:26Yak 5:17
2 Nya. 6:26Eze 14:13
2 Nya. 6:261Fa 8:35
2 Nya. 6:26Isa 9:13; Eze 18:30
2 Nya. 6:27Zb 86:11; 119:102; Isa 30:20; 54:13
2 Nya. 6:27Isa 30:21; Yer 6:16; 42:3
2 Nya. 6:271Fa 18:1; Zek 10:1
2 Nya. 6:271Fa 8:36
2 Nya. 6:28Ru 1:1; 2Fa 6:25; 2Nya 20:9
2 Nya. 6:28Law 26:16; Kum 28:21
2 Nya. 6:28Amo 4:9; Hag 2:17
2 Nya. 6:28Kum 28:22; Amo 4:9
2 Nya. 6:28Kum 28:38; Yoe 1:4; 2:25
2 Nya. 6:28Zb 78:46
2 Nya. 6:28Law 26:25; 2Nya 12:2; 32:1
2 Nya. 6:281Fa 8:37
2 Nya. 6:28Eze 14:21
2 Nya. 6:292Nya 20:6; Zb 91:15
2 Nya. 6:292Nya 33:13
2 Nya. 6:291Fa 8:38
2 Nya. 6:29Met 14:10
2 Nya. 6:29Da 6:10
2 Nya. 6:30Zb 33:14; Isa 63:15; Mt 23:22
2 Nya. 6:30Zb 130:4
2 Nya. 6:30Ayu 34:11; Zb 18:20; Ufu 2:23
2 Nya. 6:301Nya 28:9; Yer 11:20
2 Nya. 6:301Sa 16:7; 1Fa 8:39; Yer 17:10
2 Nya. 6:31Kut 20:20
2 Nya. 6:31Mwa 12:7; Yos 1:2; 1Fa 8:40
2 Nya. 6:32Kut 12:48; Ru 1:16; Isa 56:3
2 Nya. 6:32Hes 9:14; Yos 9:27; Isa 56:6; Yoh 12:20; Mdo 8:27
2 Nya. 6:32Kum 3:24; Yos 2:11
2 Nya. 6:321Fa 8:42
2 Nya. 6:32Mdo 2:10
2 Nya. 6:332Nya 30:27; Zb 11:4; 123:1; Ebr 9:24
2 Nya. 6:331Fa 8:43
2 Nya. 6:33Zb 22:27; 46:10
2 Nya. 6:33Yer 10:7; Ufu 14:7
2 Nya. 6:331Fa 8:43
2 Nya. 6:34Kum 20:1; 2Nya 14:11
2 Nya. 6:34Hes 31:2; Yos 8:1; Amu 1:2; 1Sa 15:3
2 Nya. 6:342Nya 14:11; 20:6
2 Nya. 6:342Nya 3:2
2 Nya. 6:35Zb 3:4; Da 9:17
2 Nya. 6:35Isa 37:36
2 Nya. 6:361Fa 8:46
2 Nya. 6:36Zb 130:3; Mhu 7:20; Ro 3:23
2 Nya. 6:36Law 26:34; Da 9:7
2 Nya. 6:371Fa 8:47
2 Nya. 6:37Law 26:40; Ne 1:6; Zb 106:6
2 Nya. 6:37Da 9:5
2 Nya. 6:37Ezr 9:6; Met 28:13
2 Nya. 6:38Kum 30:2; 1Sa 7:3; Yer 29:13
2 Nya. 6:38Da 9:3
2 Nya. 6:382Nya 33:7; Da 6:10
2 Nya. 6:381Fa 8:48
2 Nya. 6:392Nya 30:27; Zb 123:1; Ebr 9:24
2 Nya. 6:391Fa 8:49
2 Nya. 6:39Mwa 15:14; Yer 51:36
2 Nya. 6:39Mik 7:18
2 Nya. 6:402Nya 7:15; 16:9; Zb 11:4; 34:15; Isa 37:17
2 Nya. 6:40Zb 17:1; 31:2; 65:2
2 Nya. 6:41Zb 132:8
2 Nya. 6:411Nya 28:2
2 Nya. 6:41Yos 3:13; 1Sa 5:9
2 Nya. 6:41Ne 9:25; Zb 65:4
2 Nya. 6:421Fa 1:34; Zb 18:50
2 Nya. 6:42Mdo 13:34
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 6:1-42

2 Mambo ya Nyakati

6 Ndipo Sulemani aliposema:+ “Yehova mwenyewe alisema kwamba atakaa katika giza zito;+ 2 nami nimejenga nyumba ya makao yaliyoinuliwa+ kwa ajili yako na mahali palipofanywa imara kwa ajili yako ili ukae humo mpaka wakati usio na kipimo.”+

3 Kisha mfalme akageuza uso wake, akaanza kulibariki+ kutaniko lote la Israeli, huku kutaniko lote la Israeli likiwa limesimama.+ 4 Naye akaendelea kusema: “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi baba yangu+ na kwa mikono yake mwenyewe ametimiza,+ akisema, 5 ‘Kuanzia ile siku nilipowatoa watu wangu katika nchi ya Misri, sikuchagua jiji kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ ili liwe hapo, wala sikumchagua mwanadamu awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+ 6 Bali nitachagua Yerusalemu+ ili jina langu liwe hapo, nami nitamchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.’+ 7 Na likawa jambo lililo moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+ 8 Lakini Yehova akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vema, kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako.+ 9 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo,+ bali mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+ 10 Na Yehova akatimiza neno lake+ alilokuwa amesema, ili nisimame mahali pa Daudi baba yangu+ na kuketi juu ya kiti cha ufalme+ cha Israeli, kama Yehova alivyosema,+ na ili nijenge nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli,+ 11 na ili niweke hapo lile Sanduku+ ambamo mna agano la Yehova alilofanya na wana wa Israeli.”+

12 Naye akaanza kusimama mbele ya madhabahu ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli,+ naye sasa akainyoosha mikono yake.+ 13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa+ la shaba na kuliweka katikati ya ua.+ Urefu wake ulikuwa mikono mitano, na upana wake ulikuwa mikono mitano, na kimo chake kilikuwa mikono mitatu; naye akaendelea kusimama juu yake.) Naye akapiga magoti+ mbele ya kutaniko lote la Israeli, akainyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+ 14 Akaendelea kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ hakuna Mungu kama wewe+ mbinguni wala duniani, anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kwa watumishi wako wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote;+ 15 wewe ambaye umemtimizia mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi,+ hivi kwamba ukatoa hiyo ahadi kwa kinywa chako mwenyewe, na kwa mkono wako mwenyewe umetimiza kama ilivyo leo hii.+ 16 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, umtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu yale uliyomwahidi, ukisema, ‘Mwanamume wa kwako hatakatiliwa mbali mbele zangu asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ ikiwa tu wana wako+ wataangalia njia yao kwa kutembea katika sheria yangu+ kama vile ambavyo wewe umetembea mbele zangu.’+ 17 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ acha ahadi+ uliyomwahidi mtumishi wako Daudi itimie.+

18 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa pamoja na wanadamu duniani?+ Tazama! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukutosha;+ sembuse basi, nyumba hii ambayo nimeijenga!+ 19 Nawe ugeuke kuielekea sala ya mtumishi wako+ na ombi lake la kutaka kibali,+ Ee Yehova Mungu wangu, kwa kusikiliza kilio cha kusihi+ na sala ambayo mtumishi wako anatoa mbele zako,+ 20 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii mchana na usiku, kuelekea mahali ambapo ulisema utaweka jina lako,+ kwa kuisikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+ 21 Nawe usikilize kusihi kwa mtumishi+ wako na kwa watu wako Israeli wanaposali kuelekea mahali hapa,+ ili wewe usikie ukiwa katika makao yako, ukiwa mbinguni;+ nawe usikie na kusamehe.+

22 “Mwanadamu akimtendea dhambi mwanadamu mwenzake+ naye amlaani ili kumtia+ chini ya wajibu wa laana hiyo, naye kwa kweli aingie katika laana hiyo mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,+ 23 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe utende+ na kuwahukumu watumishi wako ili kumlipa yule mwovu kwa kuweka njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa ni mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+

24 “Na watu wako Israeli wakishindwa mbele ya adui+ kwa sababu waliendelea kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli warudi+ na kulisifu jina lako+ na kusali+ na kutoa ombi la kutaka kibali mbele zako katika nyumba hii,+ 25 basi na usikie ukiwa mbinguni,+ nawe usamehe+ dhambi ya watu wako Israeli, nawe uwarudishe+ katika nchi uliyowapa wao na mababu zao.+

26 “Mbingu zikifungwa hivi kwamba hakuna mvua inayonyesha,+ kwa sababu waliendelea kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli wasali kuelekea mahali hapa+ na kulisifu jina lako, nao wageuke kutoka katika dhambi yao kwa sababu uliendelea kuwatesa,+ 27 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe usamehe dhambi ya watumishi wako, naam, ya watu wako Israeli, kwa sababu unawafundisha+ kuhusu njia nzuri+ wanayopaswa kutembea ndani yake; nawe unyeshe mvua+ juu ya nchi yako ambayo umewapa watu wako kuwa fungu la urithi.+

28 “Njaa ikitokea+ katika nchi, tauni+ ikitokea, kukitokea joto lenye kuunguza,+ ukungu,+ nzige+ na mende;+ adui+ zao wakiwazingira katika nchi ya malango yao+—pigo la namna yoyote na ugonjwa wa namna yoyote+ — 29 sala yoyote,+ ombi lolote la kutaka kibali+ ambalo huenda likatolewa na mwanadamu au na watu wako wote Israeli,+ kwa sababu wanajua kila mmoja wao pigo+ lake na maumivu yake mwenyewe; wakati anaponyoosha mikono yake kuelekea nyumba hii,+ 30 basi na usikie ukiwa mbinguni, makao yako,+ nawe usamehe+ na kumpa kila mmoja kulingana na njia zake zote,+ kwa sababu unaujua moyo wake+ (kwa maana ni wewe peke yako unayejua vema moyo wa wanadamu);+ 31 kusudi wakuogope+ kwa kutembea katika njia zako siku zote ambazo wako hai juu ya uso wa nchi ambayo uliwapa mababu zetu.+

32 “Na pia kwa mgeni ambaye si sehemu ya watu wako Israeli+ na ambaye anatoka katika nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu+ na mkono wako wenye nguvu+ na mkono wako ulionyooshwa,+ nao kwa kweli waje na kusali kuelekea nyumba hii,+ 33 basi na usikilize ukiwa mbinguni, katika makao yako yaliyofanywa imara,+ nawe ufanye kulingana na yote ambayo mgeni huyo anakuomba;+ kusudi watu wote wa dunia wapate kulijua jina lako+ nao wakuogope+ kama vile watu wako Israeli wanavyokuogopa, na ili wajue kwamba jina lako limeitwa juu ya nyumba hii ambayo nimeijenga.+

34 “Watu wako wakitoka kwenda vitani+ kupigana na adui zao katika njia ambayo unawatuma,+ nao kwa kweli wasali+ kwako wakielekea upande wa jiji hili ambalo umelichagua na nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako,+ 35 basi usikie ukiwa mbinguni sala yao na ombi lao la kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu kwa ajili yao.+

36 “Nao wakikutendea dhambi+ (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie na kuwatia mkononi mwa adui, na wenye kuwateka wawachukue mateka na kuwapeleka katika nchi ya adui iliyo mbali au iliyo karibu;+ 37 nao warudiwe na fahamu katika nchi ile ambayo wamechukuliwa mateka, nao hakika warudi na kutoa kwako ombi la kutaka kibali katika nchi ambayo wao ni mateka,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi,+ tumekosa+ nasi tumetenda uovu’;+ 38 nao kwa kweli warudi kwako kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote katika nchi ambayo wao ni mateka+ wa wale waliowachukua mateka, nao kwa kweli wasali kuelekea upande wa nchi yao uliyowapa mababu zao na jiji ambalo umelichagua+ na nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako;+ 39 basi usikie ukiwa mbinguni, katika makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na maombi yao ya kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu+ kwa ajili yao na kuwasamehe+ watu wako ambao wamekutendea dhambi.

40 “Basi, tafadhali, Ee Mungu wangu, macho+ yako yafunguliwe na masikio+ yako yaisikilize sala inayohusu mahali hapa. 41 Na sasa usimame,+ Ee Yehova Mungu, uingie katika pumziko lako,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako.+ Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, na wavikwe wokovu, nao washikamanifu wako washangilie katika wema.+ 42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki