Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+ Zaburi 119:102 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 102 Sijageuka kando kutoka katika maamuzi yako ya hukumu,+Kwa maana wewe mwenyewe umenifundisha.+ Isaya 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Yehova hakika atawapa ninyi mkate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji;+ na bado Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, na macho yako yatakuwa macho yanayomwona Mfundishaji Mkuu wako.+ Isaya 54:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+
20 Na Yehova hakika atawapa ninyi mkate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji;+ na bado Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, na macho yako yatakuwa macho yanayomwona Mfundishaji Mkuu wako.+
13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+