2 Mambo ya Nyakati 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Na wewe ukitembea mbele zangu, kama Daudi+ baba yako alivyotembea, kwa kutenda kulingana na yote ambayo nimekuamuru,+ nawe uyashike masharti+ yangu na maamuzi yangu ya hukumu+ Zaburi 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana maamuzi yake yote ya hukumu yako mbele yangu,+Nazo sheria zake sitaziondoa kutoka kwangu.+
17 “Na wewe ukitembea mbele zangu, kama Daudi+ baba yako alivyotembea, kwa kutenda kulingana na yote ambayo nimekuamuru,+ nawe uyashike masharti+ yangu na maamuzi yangu ya hukumu+
22 Kwa maana maamuzi yake yote ya hukumu yako mbele yangu,+Nazo sheria zake sitaziondoa kutoka kwangu.+