Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe usamehe dhambi ya watumishi wako, naam, ya watu wako Israeli, kwa sababu unawafundisha+ njia nzuri wanayopaswa kutembea ndani yake;+ nawe unyeshe mvua+ juu ya nchi yako ambayo umewapa watu wako kuwa fungu la urithi.

  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu.

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Isaya 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Yehova hakika atawapa ninyi mkate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji;+ na bado Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, na macho yako yatakuwa macho yanayomwona Mfundishaji Mkuu wako.+

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+

  • 1 Yohana 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na kwa habari yenu, kule kutiwa mafuta+ ambako mlipokea kutoka kwake hukaa ndani yenu, nanyi hamhitaji yeyote awe akiwafundisha;+ lakini, kama vile kutiwa mafuta kutoka kwake kunavyowafundisha ninyi juu ya mambo yote,+ na ni kweli+ wala si uwongo, na kama vile kumewafundisha ninyi, kaeni katika muungano+ na yeye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki