Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+

      Nifundishe mapito yako mwenyewe.+

  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Na uniongoze katika njia ya unyoofu kwa sababu ya adui zangu.

  • Zaburi 86:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+

      Nitatembea katika kweli yako.+

      Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+

  • Zaburi 94:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye unamrekebisha,+ Ee Yah,

      Na ambaye unamfundisha katika sheria yako mwenyewe,+

  • Zaburi 119:102
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 102 Sijageuka kando kutoka katika maamuzi yako ya hukumu,+

      Kwa maana wewe mwenyewe umenifundisha.+

  • Isaya 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Yehova hakika atawapa ninyi mkate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji;+ na bado Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, na macho yako yatakuwa macho yanayomwona Mfundishaji Mkuu wako.+

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki