Zaburi 119:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Ni vema kwamba nimeteseka,+Ili nipate kujifunza masharti yako.+ Methali 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ewe mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova;+ wala usichukie karipio lake,+ 1 Wakorintho 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa,+ Yehova+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe+ pamoja na ulimwengu.+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+