Methali 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ewe mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova;+ wala usichukie karipio lake,+ Waebrania 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+
5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+