Methali 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yeyote anayeepuka nidhamu+ anaikataa nafsi yake mwenyewe, lakini anayesikiliza karipio anajipatia utambuzi wa moyo.+ Waebrania 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+
32 Yeyote anayeepuka nidhamu+ anaikataa nafsi yake mwenyewe, lakini anayesikiliza karipio anajipatia utambuzi wa moyo.+
5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+