Methali 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayejipatia moyo+ mzuri anapenda nafsi yake mwenyewe. Anayelinda utambuzi atapata mema.+ Mathayo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+ Waebrania 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+
24 “Kwa hiyo kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.+
10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+