Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ili kwa sikio lako usikilize hekima kwa makini,+ ili uelekeze moyo wako kwenye utambuzi,+

  • Methali 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mwanangu, zisiondoke machoni pako.+ Linda hekima inayotumika na uwezo wa kufikiri,+

  • Methali 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mtu ambaye amepungukiwa moyoni amemdharau mwenzake,+ lakini mtu mwenye utambuzi mwingi hukaa kimya.+

  • Danieli 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 watoto ambao hawakuwa na kasoro yoyote,+ bali wenye sura nzuri, wenye ufahamu katika hekima yote, wenye ujuzi,+ wenye utambuzi kuhusu mambo yanayojulikana,+ ambao pia walikuwa na uwezo wa kusimama katika jumba la mfalme;+ na kuwafundisha maandishi na lugha ya Wakaldayo.

  • Mathayo 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki