2 Samweli 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi, kwa kulinganisha na Absalomu, hakuna mwanamume aliyekuwa na sura nzuri+ sana katika Israeli yote kuweza kusifiwa sana hivyo. Hakuwa na kasoro yoyote, kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kipaji cha kichwa chake. Wimbo wa Sulemani 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wewe ni mrembo kabisa,+ ewe msichana mwenzi wangu, wala hamna kasoro ndani yako.+
25 Basi, kwa kulinganisha na Absalomu, hakuna mwanamume aliyekuwa na sura nzuri+ sana katika Israeli yote kuweza kusifiwa sana hivyo. Hakuwa na kasoro yoyote, kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kipaji cha kichwa chake.