Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi,+ na mtu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu.+ Waefeso 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo mwache kuwa wenye kukosa akili, bali endeleeni kufahamu+ yale yaliyo mapenzi+ ya Yehova. Waebrania 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+