18 Kwa hiyo akawaambia: “Ninyi pia hamna ufahamu kama wao?+ Je, hamjui kwamba hakuna chochote kutoka nje kinachoingia ndani ya mtu ambacho kinaweza kumtia unajisi,
18 macho+ ya moyo wenu yakiwa yametiwa nuru,+ ili mjue jinsi lilivyo lile tumaini+ alilowaitia, jinsi ulivyo utajiri wenye utukufu+ ambao amewawekea watakatifu kuwa urithi,+