Methali 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Utulivu wa ulimi ni mti wa uzima,+ lakini upotovu wake humaanisha kuvunjika katika roho.+ Mhubiri 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Maneno ya wenye hekima yanayosemwa kwa utulivu husikiwa+ zaidi kuliko kelele za mtu anayetawala kati ya wajinga.+ Yakobo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ni nani aliye na hekima na mwenye uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kutokana na mwenendo wake mzuri matendo+ yake kwa upole ulio wa hekima.
17 Maneno ya wenye hekima yanayosemwa kwa utulivu husikiwa+ zaidi kuliko kelele za mtu anayetawala kati ya wajinga.+
13 Ni nani aliye na hekima na mwenye uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kutokana na mwenendo wake mzuri matendo+ yake kwa upole ulio wa hekima.