4 Lakini kila mmoja na athibitishe kazi yake mwenyewe ni nini,+ kisha atakuwa na sababu ya kufurahi kwa habari yake mwenyewe peke yake, na si kwa kujilinganisha+ na mtu yule mwingine.
18 Hata hivyo, mtu fulani atasema: “Wewe una imani, nami nina matendo. Nionyeshe imani yako bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.”+