Wagalatia 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kwa habari ya Kristo Yesu tohara haina faida yoyote wala kutotahiriwa,+ bali imani+ inayotenda kupitia upendo+ ina faida. Yakobo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ni nani aliye na hekima na mwenye uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kutokana na mwenendo wake mzuri matendo+ yake kwa upole ulio wa hekima.
6 Kwa maana kwa habari ya Kristo Yesu tohara haina faida yoyote wala kutotahiriwa,+ bali imani+ inayotenda kupitia upendo+ ina faida.
13 Ni nani aliye na hekima na mwenye uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kutokana na mwenendo wake mzuri matendo+ yake kwa upole ulio wa hekima.