Waroma 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo,+ kwa ajili ya wote walio na imani.+ Kwa maana hakuna tofauti.+ Yakobo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, mtu fulani atasema: “Wewe una imani, nami nina matendo. Nionyeshe imani yako bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.”+
22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo,+ kwa ajili ya wote walio na imani.+ Kwa maana hakuna tofauti.+
18 Hata hivyo, mtu fulani atasema: “Wewe una imani, nami nina matendo. Nionyeshe imani yako bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.”+