Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maneno yenye kupendeza ni sega la asali,+ ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani.+ Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi,+ na mtu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+