Methali 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hilo liwe maponyo+ kwenye kitovu chako na burudisho kwa mifupa yako.+ Methali 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana ni uzima kwa wale wanaoyapata+ na afya kwa mwili wao wote.+ Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 17:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Moyo wenye shangwe ni dawa nzuri,+ lakini roho iliyopondeka huikausha mifupa.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+