Zaburi 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+ Methali 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Roho ya mwanadamu inaweza kuvumilia ugonjwa wake;+ lakini ni nani anayeweza kuvumilia roho iliyopondeka?+ 2 Wakorintho 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+
15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+
14 Roho ya mwanadamu inaweza kuvumilia ugonjwa wake;+ lakini ni nani anayeweza kuvumilia roho iliyopondeka?+
10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+