Maombolezo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+ Yohana 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baada ya hayo, Yesu alipojua kwamba kufikia sasa mambo yote yalikuwa yametimizwa, ili andiko lipate kutimizwa, akasema: “Nina kiu.”+
4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+
28 Baada ya hayo, Yesu alipojua kwamba kufikia sasa mambo yote yalikuwa yametimizwa, ili andiko lipate kutimizwa, akasema: “Nina kiu.”+