Methali 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+ 1 Timotheo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo; lakini ujitoaji-kimungu+ ni wenye faida kwa mambo yote,+ kwa kuwa una ahadi ya uzima wa sasa na ule utakaokuja.+
4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+
8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo; lakini ujitoaji-kimungu+ ni wenye faida kwa mambo yote,+ kwa kuwa una ahadi ya uzima wa sasa na ule utakaokuja.+