Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+ Zaburi 119:103 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Jinsi maneno yako yamekuwa laini katika kaakaa langu,Kuliko asali kinywani mwangu!+
10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+