Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+ Mhubiri 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+