Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+

  • Mhubiri 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+

      Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+

  • Yakobo 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki