Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Usifanye haraka kuhusiana na kinywa chako; nao moyo wako,+ usiwe na haraka kusema neno mbele za Mungu wa kweli.+ Kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni+ lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+

  • Mhubiri 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+

      Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+

  • Yakobo 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno,+ huyo ni mtu mkamilifu,+ anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki