2 Usifanye haraka kuhusiana na kinywa chako; nao moyo wako,+ usiwe na haraka kusema neno mbele za Mungu wa kweli.+ Kwa maana Mungu wa kweli yuko mbinguni+ lakini wewe uko duniani. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa machache.+
2 Kwa maana sisi sote hujikwaa mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno,+ huyo ni mtu mkamilifu,+ anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.