2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+
5 Lakini ikiwa baba yake amemkataza katika siku ya kusikia kwake nadhiri zake zote au nadhiri zake za kujiepusha ambazo amefunga juu ya nafsi yake, haitasimama, bali Yehova atamsamehe, kwa sababu baba yake alimkataza.+
24 Na watu wa Israeli walikuwa wamebanwa sana siku hiyo, na bado Sauli akawaapisha watu,+ akisema: “Alaaniwe mtu yeyote atakayekula mkate kabla ya jioni na mpaka niwe nimejilipiza kisasi+ juu ya adui zangu!” Na hakuna yeyote kati ya watu aliyeonja mkate.+