Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+

  • Waamuzi 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye akawaambia watu wa Sukothi:+ “Tafadhali wapeni mikate ya mviringo watu wanaofuata hatua zangu,+ kwa kuwa wamechoka nami ninawafuatilia Zeba+ na Zalmuna,+ wafalme wa Midiani.”

  • 2 Samweli 17:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 na asali+ na siagi+ na kondoo na maziwa ya ng’ombe yaliyoganda, wakaleta kwa ajili ya Daudi na kwa ajili ya watu waliokuwa pamoja naye ili wale,+ kwa maana walisema: “Watu wana njaa nao wamechoka na wana kiu nyikani.”+

  • Zaburi 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+

      Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+

      Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki