21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+
5 Baadaye akawaambia watu wa Sukothi:+ “Tafadhali wapeni mikate ya mviringo watu wanaofuata hatua zangu,+ kwa kuwa wamechoka nami ninawafuatilia Zeba+ na Zalmuna,+ wafalme wa Midiani.”
29 na asali+ na siagi+ na kondoo na maziwa ya ng’ombe yaliyoganda, wakaleta kwa ajili ya Daudi na kwa ajili ya watu waliokuwa pamoja naye ili wale,+ kwa maana walisema: “Watu wana njaa nao wamechoka na wana kiu nyikani.”+