Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wana wa Israeli hawakuwapiga, kwa sababu wakuu wa kusanyiko walikuwa wamewaapia+ kwa Yehova Mungu wa Israeli.+ Na kusanyiko lote likaanza kuwanung’unikia hao wakuu.+

  • Waamuzi 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na ikawa kwamba alipomwona, akaanza kuyararua mavazi+ yake na kusema: “Ole, binti yangu! Kwa kweli umenifanya niiname chini, nawe mwenyewe umekuwa ndiye yule ambaye nilikuwa nikitenga. Mimi nimemfungulia Yehova kinywa changu, nami siwezi kurudi nyuma.”+

  • Zaburi 50:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+

      Na umtimizie Aliye Juu Zaidi nadhiri zako;+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki