Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+ Wafilipi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kufanya mambo yote bila kunung’unika+ na kubishana,+