Yoshua 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini Waisraeli hawakuwashambulia, kwa sababu wakuu wa Waisraeli walikuwa wamewaapia kwa jina la Yehova+ Mungu wa Israeli. Kwa hiyo Waisraeli wote wakaanza kuwanung’unikia wakuu hao.
18 Lakini Waisraeli hawakuwashambulia, kwa sababu wakuu wa Waisraeli walikuwa wamewaapia kwa jina la Yehova+ Mungu wa Israeli. Kwa hiyo Waisraeli wote wakaanza kuwanung’unikia wakuu hao.