Yoshua 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wana wa Israeli hawakuwapiga, kwa sababu wakuu wa kusanyiko walikuwa wamewaapia+ kwa Yehova Mungu wa Israeli.+ Na kusanyiko lote likaanza kuwanung’unikia hao wakuu.+
18 Nao wana wa Israeli hawakuwapiga, kwa sababu wakuu wa kusanyiko walikuwa wamewaapia+ kwa Yehova Mungu wa Israeli.+ Na kusanyiko lote likaanza kuwanung’unikia hao wakuu.+