Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 22:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Utamsihi, naye atakusikiliza;+

      Nawe utazitimiza nadhiri zako.+

  • Zaburi 66:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+

      Nitakutimizia nadhiri zangu.+

  • Zaburi 116:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+

      Naam, mbele ya watu wake wote,+

  • Mhubiri 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+

  • Yona 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+

      Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+

  • Nahumu 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki