Ayubu 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Utamsihi, naye atakusikiliza;+Nawe utazitimiza nadhiri zako.+ Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitakutimizia nadhiri zangu.+ Zaburi 116:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+Naam, mbele ya watu wake wote,+ Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+ Yona 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+ Nahumu 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+
15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+