Zaburi 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+ Zaburi 56:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Juu yangu, Ee Mungu, kuna nadhiri zako.+Nitakutolea maneno ya shukrani.+ Zaburi 116:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+Naam, mbele ya watu wake wote. Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+