Hesabu 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+ Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitakutimizia nadhiri zangu.+ Zaburi 116:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+Naam, mbele ya watu wake wote,+ Yona 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+
2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+
9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+