Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+

  • Zaburi 66:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+

      Nitakutimizia nadhiri zangu.+

  • Zaburi 116:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+

      Naam, mbele ya watu wake wote,+

  • Yona 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+

      Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki