Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+

  • Zaburi 76:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+

      Na walete zawadi kwa kuogopa.+

  • Zaburi 116:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+

      Naam, mbele ya watu wake wote.

  • Zaburi 119:106
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 106 Nimetoa ahadi yenye kiapo, nami nitaitimiza,+

      Kuyashika maamuzi yako ya hukumu ya uadilifu.+

  • Mhubiri 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki