Kumbukumbu la Torati 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+ Zaburi 76:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+ Zaburi 116:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nadhiri zangu nitamtimizia Yehova,+Naam, mbele ya watu wake wote. Zaburi 119:106 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 106 Nimetoa ahadi yenye kiapo, nami nitaitimiza,+Kuyashika maamuzi yako ya hukumu ya uadilifu.+ Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+
21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+
11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+