Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi wakamwapia+ Yehova kwa sauti kubwa na kwa sauti za shangwe na kwa tarumbeta na kwa baragumu.

  • Nehemia 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 walikuwa wakishikamana na ndugu zao,+ watu wao mashuhuri,+ na kuingia katika laana+ na kiapo,+ kwamba watatembea katika sheria ya Mungu wa kweli, ambayo ilitolewa kupitia mkono wa Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ na kushika+ na kufanya amri zote za Yehova Bwana wetu+ na maamuzi yake ya hukumu na masharti yake;+

  • Zaburi 66:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+

      Nitakutimizia nadhiri zangu.+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki