Ayubu 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Utamsihi, naye atakusikiliza;+Nawe utazitimiza nadhiri zako.+ Zaburi 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+ Yona 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+ Nahumu 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+ Yohana 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimekutukuza+ duniani, nikiwa nimemaliza kazi ambayo umenipa niifanye.+
25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+
9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+
15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+