Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Zaburi 109:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wazao wake na wakatiliwe mbali.+Katika kizazi kinachofuata jina lao na lifutiliwe mbali.+ Mathayo 25:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na hawa watakatiliwa mbali milele,+ lakini waadilifu wataingia katika uzima wa milele.”+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+