Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+

  • 2 Wafalme 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tena Yehu akaendelea kuwapiga na kuwaua wote waliobaki wa nyumba ya Ahabu katika Yezreeli na watu wake wote walio mashuhuri+ na rafiki zake na makuhani+ wake, mpaka alipokuwa amewaangamiza watu wake wote, bila kuacha mwokokaji yeyote abaki.+

  • Zaburi 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+

      Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

      ע [ʽAʹyin]

      Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+

  • Yeremia 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova amesema hivi, ‘Andikeni kwamba mtu huyu hana mtoto,+ kama mwanamume ambaye hatafanikiwa kwa vyovyote katika siku zake; kwa maana hakuna hata mmoja atakayefanikiwa kwa vyovyote kutoka kwa uzao wake,+ mwenye kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi+ na kutawala tena katika Yuda.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki