10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+
30 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote anayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itakuwa kitu kilichotupwa nje+ kwenye joto wakati wa mchana na kwenye baridi kali wakati wa usiku.