Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na kumhusu Mweza-Yote, sisi hatujamjua;+

      Yeye ameinuliwa katika nguvu,+

      Naye hatapuuza+ haki+ na wingi wa uadilifu.+

  • Zaburi 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+

      Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+

  • Zaburi 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Anapenda uadilifu na haki.+

      Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+

  • Yeremia 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe kwa sababu ya jambo hili, kuwa na ufahamu+ na kuwa na ujuzi kunihusu mimi, kwamba mimi ni Yehova,+ Yeye anayeonyesha fadhili zenye upendo, haki na uadilifu duniani;+ kwa maana mimi hupendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki