Zaburi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+ Zaburi 71:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika kileleni;+Na kuhusu mambo makuu ambayo umeyafanya,+Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+
7 Kwa maana Yehova ni mwadilifu;+ yeye huyapenda matendo ya uadilifu.+Wanyoofu ndio watakaouona uso wake.+
19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika kileleni;+Na kuhusu mambo makuu ambayo umeyafanya,+Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+