Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Na ukuu wake hauchunguziki.+ Mhubiri 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
11 Amefanya kila kitu kiwe chenye kupendeza kwa wakati wake.+ Tena wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao,+ ili mwanadamu asiweze kugundua kazi ambazo Mungu wa kweli amefanya tangu mwanzo mpaka mwisho.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!