Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+ Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 37:28 cl 285-288 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:28 Mkaribie Yehova, kur. 285-288 Mnara wa Mlinzi,3/1/1989, uku. 19
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataangamizwa.+