2 Na kutakuwa na wengi kati ya wale waliolala katika mavumbi ya nchi ambao wataamka,+ hawa kwa ajili ya uzima unaodumu mpaka wakati usio na kipimo+ na wale kwa ajili ya shutuma na chuki zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+