Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata hivyo, Yehova akamwambia Musa: “Yeyote ambaye amenitendea dhambi, nitamfutilia mbali kutoka katika kitabu changu.+

  • Hesabu 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “‘Naye kuhani ataandika laana hizo katika kitabu+ na kuzifutilia+ mbali kwenye yale maji machungu.

  • Kumbukumbu la Torati 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na itatukia kwamba wakati ambapo Yehova Mungu wako atakuwa amekupumzisha kutokana na adui zako wanaokuzunguka pande zote katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi ili uimiliki,+ utafutilia mbali jina la Amaleki kutoka chini ya mbingu.+ Hupaswi kusahau.

  • Kumbukumbu la Torati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.

  • Methali 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki